Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 15:10 - Swahili Revised Union Version

10 Adhabu kali ina yeye aiachaye njia; Naye achukiaye kukemewa atakufa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Adhabu kali ipo kwa wanaoacha mwenendo mwema; yeyote achukiaye kuonywa atakufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Adhabu kali ipo kwa wanaoacha mwenendo mwema; yeyote achukiaye kuonywa atakufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Adhabu kali ipo kwa wanaoacha mwenendo mwema; yeyote achukiaye kuonywa atakufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Adhabu kali humngoja yeye aachaye njia; yeye achukiaye maonyo atakufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Adhabu kali humngoja yeye aachaye njia; yeye achukiaye maonyo atakufa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Adhabu kali ina yeye aiachaye njia; Naye achukiaye kukemewa atakufa.

Tazama sura Nakili




Methali 15:10
20 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, Ahabu alipomwona Eliya, Ahabu akamwambia, Je! Ni wewe, Ewe mtaabishaji wa Israeli?


Ahabu akamwambia Eliya, Je! Umenipata, ewe adui yangu? Akamwambia, Nimekupata, kwa sababu umejiuza utende yaliyo mabaya machoni pa BWANA.


Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, Yupo mtu mmoja, ambaye tungeweza kumwuliza BWANA kwa yeye, yaani Mikaya mwana wa Imla; lakini namchukia; kwa sababu hanibashirii mema, ila mabaya. Yehoshafati akasema, La! Mfalme asiseme hivi.


Kwa sababu walikengeuka, wasimfuate yeye, Wasikubali kuzishika njia zake hata moja;


Maana wewe umechukia maonyo, Na kuyatupa maneno yangu nyuma yako.


Bali mmeupuuza ushauri wangu, Wala hamkutaka maonyo yangu;


Hawakukubali mashauri yangu, Wakayadharau maonyo yangu yote.


Akubaliye kurudiwa huwa katika njia ya uzima; Bali yeye aachaye maonyo hukosa.


Kila apendaye mafundisho hupenda maarifa; Bali yeye achukiaye kulaumiwa ni kama mnyama.


Mwana mwenye hekima husikiliza mausia ya babaye; Bali mwenye dharau hasikilizi maonyo.


Kuzimu na Uharibifu viko wazi mbele za BWANA; Si zaidi basi, mioyo ya wanadamu?


Njia ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali humpenda mtu afuatiaye wema.


Utasema, Wamenichapa wala sikuumia; Wamenipiga wala sina habari; Nitaamka lini, nitazidi kuitafuta tena.


Ukasema, Jinsi nilivyochukia maonyo, Na moyo wangu ukadharau kukemewa;


Je! Hukujipatia mambo haya mwenyewe, kwa kuwa umemwacha BWANA, Mungu wako, alipokuongoza njiani?


Lakini ukimwonya mtu mbaya kwa sababu ya njia yake, kusudi aiache; wala yeye asiiache; atakufa huyo katika uovu wake, lakini wewe umejiokoa roho yako.


Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije yakakemewa.


Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi; bali hunichukia mimi, kwa sababu mimi naushuhudia ya kuwa kazi zake ni mbovu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo