Methali 15:11 - Swahili Revised Union Version11 Kuzimu na Uharibifu viko wazi mbele za BWANA; Si zaidi basi, mioyo ya wanadamu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Ikiwa Mwenyezi-Mungu ajua yaliyo Kuzimu na Abadoni, mawazo ya binadamu yatawezaje kujificha mbele yake? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Ikiwa Mwenyezi-Mungu ajua yaliyo Kuzimu na Abadoni, mawazo ya binadamu yatawezaje kujificha mbele yake? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Ikiwa Mwenyezi-Mungu ajua yaliyo Kuzimu na Abadoni, mawazo ya binadamu yatawezaje kujificha mbele yake? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Mauti na Uharibifu viko wazi mbele za Mwenyezi Mungu: je, si zaidi sana mioyo ya wanadamu! Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Mauti na Uharibifu viko wazi mbele za bwana: je, si zaidi sana mioyo ya wanadamu! Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Kuzimu na Uharibifu viko wazi mbele za BWANA; Si zaidi basi, mioyo ya wanadamu? Tazama sura |