Methali 15:9 - Swahili Revised Union Version9 Njia ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali humpenda mtu afuatiaye wema. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Mwenendo wa waovu ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu, lakini Mungu huwapenda wale wafuatao mambo adili. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Mwenendo wa waovu ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu, lakini Mungu huwapenda wale wafuatao mambo adili. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Mwenendo wa waovu ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu, lakini Mungu huwapenda wale wafuatao mambo adili. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Mwenyezi Mungu huchukia sana njia ya waovu, bali huwapenda wale wafuatao haki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 bwana huchukia sana njia ya waovu, bali huwapenda wale wafuatao haki. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Njia ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali humpenda mtu afuatiaye wema. Tazama sura |