Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 1:10 - Swahili Revised Union Version

Mwanangu, wenye dhambi wakikushawishi, Wewe usikubali.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwanangu, usikubali kushawishiwa na wenye dhambi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwanangu, usikubali kushawishiwa na wenye dhambi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwanangu, usikubali kushawishiwa na wenye dhambi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwanangu, wenye dhambi wakikushawishi, usikubaliane nao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwanangu, kama wenye dhambi wakikushawishi, usikubaliane nao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwanangu, wenye dhambi wakikushawishi, Wewe usikubali.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 1:10
14 Marejeleo ya Msalaba  

Haya, twende, tukamwue na kumtupa katika shimo mojawapo, nasi tutasema, Mnyama mkali amemla; kisha tutaona zitakuwaje ndoto zake.


Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wenye dhambi; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.


Ulipomwona mwizi ulikuwa radhi naye, Ukashirikiana na wazinzi.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Mtu mkali humshawishi mwenzake; Humwongoza katika njia isiyo njema.


Mwenye udaku hufunua siri; Basi, usishirikiane naye afunuaye midomo yake sana.


Kwa maana moyo wao hufikiri dhuluma, Na midomo yao huongea madhara.


Ni yeye aendaye kwa haki, anenaye maneno ya adili; ni yeye anayedharau faida ipatikanayo kwa dhuluma; akung'utaye mikono yake asipokee rushwa; azibaye masikio yake asisikie habari za umwagaji wa damu; afumbaye macho yake asitazame uovu.


Kwa sababu walio hivyo hawamtumikii Bwana wetu Kristo, bali matumbo yao wenyewe; na kwa maneno laini na ya kujipendekeza waidanganya mioyo ya watu wanyofu.


Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;


usimkubalie wala usimsikize; wala jicho lako lisimwonee huruma, wala usimwache, wala usimfiche;