Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 9:31 - Swahili Revised Union Version

Lakini wakatoka, wakaeneza habari zake katika nchi ile yote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini wao wakaondoka, wakaeneza habari za Yesu katika nchi ile yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini wao wakaondoka, wakaeneza habari za Yesu katika nchi ile yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini wao wakaondoka, wakaeneza habari za Yesu katika nchi ile yote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini wao wakaenda na kueneza habari zake katika eneo lile lote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini wao wakaenda na kueneza habari zake katika eneo lile lote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini wakatoka, wakaeneza habari zake katika nchi ile yote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 9:31
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati ule mfalme Herode alisikia habari za Yesu, akawaambia watumishi wake,


Basi wakazitwaa zile fedha, wakafanya kama walivyofundishwa. Na neno hilo likaenea kati ya Wayahudi hata leo.


Na habari zake zikaenea katika Shamu yote; wakamletea wote waliokuwa wagonjwa, walioshikwa na maradhi mbalimbali na mateso, wenye pepo, na wenye kifafa, na wenye kupooza; akawaponya.


Habari hizi zikaenea katika nchi ile yote.


Habari zake zikaenea haraka kote katika nchi zote kandokando ya Galilaya.


Akawaonya wasimwambie mtu; lakini kadiri ya alivyozidi kuwaagiza, ndivyo walivyozidi kutangaza habari;


Yesu akarudi kwa nguvu za Roho, akaendea Galilaya; habari zake zikaenea katika nchi zote za kandokando.


Habari zake zikaenea kila mahali katika nchi ile.


Lakini habari zake zikazidi kuenea, wakakutanika makutano mengi wamsikilize na kuponywa magonjwa yao.


Habari hii yake ikaenea kote katika Yudea yote, na katika nchi zote za karibu.