Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 9:31 - Swahili Revised Union Version

31 Lakini wakatoka, wakaeneza habari zake katika nchi ile yote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Lakini wao wakaondoka, wakaeneza habari za Yesu katika nchi ile yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Lakini wao wakaondoka, wakaeneza habari za Yesu katika nchi ile yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Lakini wao wakaondoka, wakaeneza habari za Yesu katika nchi ile yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Lakini wao wakaenda na kueneza habari zake katika eneo lile lote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Lakini wao wakaenda na kueneza habari zake katika eneo lile lote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Lakini wakatoka, wakaeneza habari zake katika nchi ile yote.

Tazama sura Nakili




Mathayo 9:31
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati ule mfalme Herode alisikia habari za Yesu, akawaambia watumishi wake,


Basi wakazitwaa zile fedha, wakafanya kama walivyofundishwa. Na neno hilo likaenea kati ya Wayahudi hata leo.


Na habari zake zikaenea katika Shamu yote; wakamletea wote waliokuwa wagonjwa, walioshikwa na maradhi mbalimbali na mateso, wenye pepo, na wenye kifafa, na wenye kupooza; akawaponya.


Habari hizi zikaenea katika nchi ile yote.


Habari zake zikaenea haraka kote katika nchi zote kandokando ya Galilaya.


Akawaonya wasimwambie mtu; lakini kadiri ya alivyozidi kuwaagiza, ndivyo walivyozidi kutangaza habari;


Yesu akarudi kwa nguvu za Roho, akaendea Galilaya; habari zake zikaenea katika nchi zote za kandokando.


Habari zake zikaenea kila mahali katika nchi ile.


Lakini habari zake zikazidi kuenea, wakakutanika makutano mengi wamsikilize na kuponywa magonjwa yao.


Habari hii yake ikaenea kote katika Yudea yote, na katika nchi zote za karibu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo