Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 9:30 - Swahili Revised Union Version

30 Macho yao yakafumbuka. Naye Yesu akawaagiza kwa nguvu, akisema, Angalieni hata mtu mmoja asijue.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Macho yao yakafunguliwa. Naye Yesu akawaonya kwa ukali: “Msimwambie mtu yeyote jambo hili.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Macho yao yakafunguliwa. Naye Yesu akawaonya kwa ukali: “Msimwambie mtu yeyote jambo hili.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Macho yao yakafunguliwa. Naye Yesu akawaonya kwa ukali: “Msimwambie mtu yeyote jambo hili.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Macho yao yakafunguka. Isa akawaonya vikali, akisema, “Chungeni mtu yeyote asijue kuhusu jambo hili.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Macho yao yakafunguka. Isa akawaonya vikali, akisema, “Angalieni mtu yeyote asijue kuhusu jambo hili.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Macho yao yakafumbuka. Naye Yesu akawaagiza kwa nguvu, akisema, Angalieni hata mtu mmoja asijue.

Tazama sura Nakili




Mathayo 9:30
13 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA huwafumbua macho waliopofuka; BWANA huwainua walioinama; BWANA huwapenda wenye haki;


Ndipo macho ya vipofu yatafumbuliwa, na masikio ya viziwi yatazibuliwa.


kuyafunua macho ya vipofu, kuwatoa gerezani waliofungwa, kuwatoa wale walioketi gizani katika nyumba ya kufungwa.


Tazama, mtumishi wangu atatenda kwa busara, atatukuzwa, na kuinuliwa juu, naye atakuwa juu sana.


akawakataza wasimdhihirishe;


Na walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu aliwaagiza, akasema, Msimwambie mtu yeyote habari ya maono hayo, hadi Mwana wa Adamu atakapofufuka katika wafu.


Yesu akamwambia, Angalia, usimwambie mtu; ila nenda zako, ukajioneshe kwa kuhani, ukaitoe sadaka kama alivyoamuru Musa, iwe ushuhuda kwao.


Akamkataza kwa nguvu, akamwondoa mara,


Akawakataza sana, wasimdhihirishe.


Akawaonya sana, mtu asijue habari ile; akaamuru apewe chakula.


Akamkataza asimwambie mtu, ila, Nenda ukajioneshe kwa kuhani; ukatoe sadaka kwa ajili ya kutakasika kwako kama Musa alivyoamuru, iwe ushuhuda kwao.


Wazazi wake wakastaajabu sana, lakini akawakataza wasimwambie mtu lililotukia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo