Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 9:32 - Swahili Revised Union Version

32 Na hao walipokuwa wakiondoka, tazama, walimletea mtu bubu mwenye pepo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Watu walipokuwa wanakwenda zao, wengine walimletea Yesu mtu mmoja aliyekuwa bubu kwa sababu alikuwa amepagawa na pepo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Watu walipokuwa wanakwenda zao, wengine walimletea Yesu mtu mmoja aliyekuwa bubu kwa sababu alikuwa amepagawa na pepo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Watu walipokuwa wanakwenda zao, wengine walimletea Yesu mtu mmoja aliyekuwa bubu kwa sababu alikuwa amepagawa na pepo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Walipokuwa wanatoka, mtu mmoja aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu na ambaye hakuweza kuongea aliletwa kwa Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Walipokuwa wanatoka, mtu mmoja aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu na ambaye hakuweza kuongea aliletwa kwa Isa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Na hao walipokuwa wakiondoka, tazama, walimletea mtu bubu mwenye pepo.

Tazama sura Nakili




Mathayo 9:32
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo mtu aliye kilema atarukaruka kama kulungu, na ulimi wake aliye bubu utaimba; maana katika nyika maji yatabubujika; na vijito jangwani.


Na habari zake zikaenea katika Shamu yote; wakamletea wote waliokuwa wagonjwa, walioshikwa na maradhi mbalimbali na mateso, wenye pepo, na wenye kifafa, na wenye kupooza; akawaponya.


Naye alikuwa akitoa pepo bubu; ikawa pepo alipotoka, yule bubu akanena, watu wakastaajabu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo