Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:48 - Swahili Revised Union Version

Mara mmoja wao akaenda mbio, akatwaa sifongo, akaijaza siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mmoja wao akakimbia, akachukua sifongo, akaichovya katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, akampa anywe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mmoja wao akakimbia, akachukua sifongo, akaichovya katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, akampa anywe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mmoja wao akakimbia, akachukua sifongo, akaichovya katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, akampa anywe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ghafula mmoja wao akaenda mbio na kuleta sifongo, akaichovya kwenye siki, akaiweka kwenye mwanzi na akampa Isa ili anywe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ghafula mmoja wao akaenda mbio na kuleta sifongo, akaichovya kwenye siki, akaiweka kwenye mwanzi na akampa Isa ili anywe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mara mmoja wao akaenda mbio, akatwaa sifongo, akaijaza siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:48
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wakanipa uchungu kuwa chakula changu; Na nilipokuwa na kiu wakaninywesha siki.


wakampa kunywa divai iliyochanganyika na nyongo; lakini yeye alipoionja hakutaka kunywa.


Na baadhi yao waliokuweko, waliposikia, walisema, Huyu anamwita Eliya.


Wale wengine wakasema, Acha; na tuone kama Eliya anakuja kumwokoa.


Na mmoja akaenda mbio, akajaza sifongo siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha, akisema, Acheni, na tuone kwamba Eliya anakuja kumteremsha.


Wale askari nao wakamfanyia dhihaka, wakimwendea na kumletea siki,