Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 23:36 - Swahili Revised Union Version

36 Wale askari nao wakamfanyia dhihaka, wakimwendea na kumletea siki,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Askari nao walimdhihaki pia; walimwendea wakampa siki

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Askari nao walimdhihaki pia; walimwendea wakampa siki

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Askari nao walimdhihaki pia; walimwendea wakampa siki

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Askari nao wakaja, wakamdhihaki. Wakamletea siki ili anywe,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Askari nao wakaja, wakamdhihaki. Wakamletea siki ili anywe,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Wale askari nao wakamfanyia dhihaka, wakimwendea na kumletea siki,

Tazama sura Nakili




Luka 23:36
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wakanipa uchungu kuwa chakula changu; Na nilipokuwa na kiu wakaninywesha siki.


wakampa kunywa divai iliyochanganyika na nyongo; lakini yeye alipoionja hakutaka kunywa.


Mara mmoja wao akaenda mbio, akatwaa sifongo, akaijaza siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha.


Na mmoja akaenda mbio, akajaza sifongo siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha, akisema, Acheni, na tuone kwamba Eliya anakuja kumteremsha.


Basi Herode akamdhalilisha, pamoja na askari wake, akamdhihaki, na kumvika mavazi mazuri; kisha akamrudisha kwa Pilato.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo