Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 27:34 - Swahili Revised Union Version

34 wakampa kunywa divai iliyochanganyika na nyongo; lakini yeye alipoionja hakutaka kunywa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 wakampa mchanganyiko wa divai na kitu kichungu. Lakini Yesu alipoonja akakataa kunywa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 wakampa mchanganyiko wa divai na kitu kichungu. Lakini Yesu alipoonja akakataa kunywa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 wakampa mchanganyiko wa divai na kitu kichungu. Lakini Yesu alipoonja akakataa kunywa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Hapo wakampa Isa divai iliyochanganywa na nyongo ili anywe; lakini alipoionja, akakataa kuinywa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Hapo wakampa Isa divai iliyochanganywa na nyongo ili anywe; lakini alipoionja, akakataa kuinywa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 wakampa kunywa divai iliyochanganyika na nyongo; lakini yeye alipoionja hakutaka kunywa.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:34
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wakanipa uchungu kuwa chakula changu; Na nilipokuwa na kiu wakaninywesha siki.


Mbona tunakaa kimya? Jikusanyeni, tukaingie ndani ya miji yenye maboma, tukanyamaze humo kwa maana BWANA, Mungu wetu, ametunyamazisha, naye ametupa maji yenye uchungu tunywe, kwa sababu tumemwasi BWANA.


Mara mmoja wao akaenda mbio, akatwaa sifongo, akaijaza siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha.


Wakampa mvinyo iliyotiwa manemane, asiipokee.


Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo