Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 27:48 - Swahili Revised Union Version

48 Mara mmoja wao akaenda mbio, akatwaa sifongo, akaijaza siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

48 Mmoja wao akakimbia, akachukua sifongo, akaichovya katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, akampa anywe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

48 Mmoja wao akakimbia, akachukua sifongo, akaichovya katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, akampa anywe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

48 Mmoja wao akakimbia, akachukua sifongo, akaichovya katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, akampa anywe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

48 Ghafula mmoja wao akaenda mbio na kuleta sifongo, akaichovya kwenye siki, akaiweka kwenye mwanzi na akampa Isa ili anywe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

48 Ghafula mmoja wao akaenda mbio na kuleta sifongo, akaichovya kwenye siki, akaiweka kwenye mwanzi na akampa Isa ili anywe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

48 Mara mmoja wao akaenda mbio, akatwaa sifongo, akaijaza siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:48
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wakanipa uchungu kuwa chakula changu; Na nilipokuwa na kiu wakaninywesha siki.


wakampa kunywa divai iliyochanganyika na nyongo; lakini yeye alipoionja hakutaka kunywa.


Na baadhi yao waliokuweko, waliposikia, walisema, Huyu anamwita Eliya.


Wale wengine wakasema, Acha; na tuone kama Eliya anakuja kumwokoa.


Na mmoja akaenda mbio, akajaza sifongo siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha, akisema, Acheni, na tuone kwamba Eliya anakuja kumteremsha.


Wale askari nao wakamfanyia dhihaka, wakimwendea na kumletea siki,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo