Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 27:49 - Swahili Revised Union Version

49 Wale wengine wakasema, Acha; na tuone kama Eliya anakuja kumwokoa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

49 Wengine wakasema, “Acha tuone kama Elia anakuja kumwokoa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

49 Wengine wakasema, “Acha tuone kama Elia anakuja kumwokoa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

49 Wengine wakasema, “Acha tuone kama Elia anakuja kumwokoa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

49 Wengine wakasema, “Basi mwacheni. Hebu tuone kama Ilya atakuja kumwokoa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

49 Wengine wakasema, “Basi mwacheni. Hebu tuone kama Ilya atakuja kumwokoa.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

49 Wale wengine wakasema, Acha; na tuone kama Eliya anakuja kumwokoa.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:49
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Eliya Mtishbi, wa wageni wa Gileadi, akamwambia Ahabu, Kama BWANA, Mungu wa Israeli, aishivyo, ambaye ninasimama mbele zake, hakutakuwa na umande wala mvua miaka hii, ila kwa neno langu.


Wakisema, Mungu amemwacha, Mfuatieni, mkamateni, hakuna wa kumponya.


Mara mmoja wao akaenda mbio, akatwaa sifongo, akaijaza siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha.


Naye Yesu akiisha kupaza sauti tena kwa nguvu, akaitoa roho yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo