Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 15:36 - Swahili Revised Union Version

36 Na mmoja akaenda mbio, akajaza sifongo siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha, akisema, Acheni, na tuone kwamba Eliya anakuja kumteremsha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Mtu mmoja akakimbia, akaichovya sifongo katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, akampa anywe akisema, “Hebu tuone kama Elia atakuja kumteremsha msalabani!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Mtu mmoja akakimbia, akaichovya sifongo katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, akampa anywe akisema, “Hebu tuone kama Elia atakuja kumteremsha msalabani!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Mtu mmoja akakimbia, akaichovya sifongo katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, akampa anywe akisema, “Hebu tuone kama Elia atakuja kumteremsha msalabani!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Mtu mmoja akaenda mbio, akachovya sifongo kwenye siki, akaiweka kwenye mwanzi na akampa Isa ili anywe, akisema, “Basi mwacheni. Hebu tuone kama Ilya atakuja kumshusha kutoka hapo msalabani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Mtu mmoja akaenda mbio, akachovya sifongo kwenye siki, akaiweka kwenye mwanzi na akampa Isa ili anywe, akisema, “Basi mwacheni. Hebu tuone kama Ilya atakuja kumshusha kutoka hapo msalabani.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Na mmoja akaenda mbio, akajaza sifongo siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha, akisema, Acheni, na tuone kwamba Eliya anakuja kumteremsha.

Tazama sura Nakili




Marko 15:36
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wakanipa uchungu kuwa chakula changu; Na nilipokuwa na kiu wakaninywesha siki.


Mara mmoja wao akaenda mbio, akatwaa sifongo, akaijaza siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha.


Wakampa mvinyo iliyotiwa manemane, asiipokee.


Na baadhi yao waliosimama pale, walisema, Tazama, anamwita Eliya.


Naye Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho.


Wale askari nao wakamfanyia dhihaka, wakimwendea na kumletea siki,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo