Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 15:35 - Swahili Revised Union Version

35 Na baadhi yao waliosimama pale, walisema, Tazama, anamwita Eliya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Baadhi ya watu waliosimama pale waliposikia hivyo, walisema, “Sikiliza! Anamwita Elia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Baadhi ya watu waliosimama pale waliposikia hivyo, walisema, “Sikiliza! Anamwita Elia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Baadhi ya watu waliosimama pale waliposikia hivyo, walisema, “Sikiliza! Anamwita Elia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Baadhi ya watu waliokuwa wamesimama karibu waliposikia hayo, wakasema, “Msikieni, anamwita Ilya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Baadhi ya watu waliokuwa wamesimama karibu waliposikia hayo, wakasema, “Msikieni anamwita Ilya.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

35 Na baadhi yao waliosimama pale, walisema, Tazama, anamwita Eliya.

Tazama sura Nakili




Marko 15:35
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na saa tisa Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Maana yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?


Na mmoja akaenda mbio, akajaza sifongo siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha, akisema, Acheni, na tuone kwamba Eliya anakuja kumteremsha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo