Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:15 - Swahili Revised Union Version

Basi wakati wa sikukuu, mtawala desturi yake huwafungulia mkutano mfungwa mmoja waliyemtaka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ilikuwa kawaida wakati wa sikukuu ya Pasaka mkuu wa mkoa kuwafungulia Wayahudi mfungwa mmoja waliyemtaka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ilikuwa kawaida wakati wa sikukuu ya Pasaka mkuu wa mkoa kuwafungulia Wayahudi mfungwa mmoja waliyemtaka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ilikuwa kawaida wakati wa sikukuu ya Pasaka mkuu wa mkoa kuwafungulia Wayahudi mfungwa mmoja waliyemtaka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi ilikuwa ni desturi ya mtawala kumfungua mfungwa mmoja aliyechaguliwa na umati wa watu wakati wa sikukuu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi ilikuwa ni desturi ya mtawala kumfungua mfungwa mmoja aliyechaguliwa na umati wa watu wakati wa sikukuu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi wakati wa sikukuu, mtawala desturi yake huwafungulia mkutano mfungwa mmoja waliyemtaka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:15
11 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wakasema, Isiwe wakati wa sikukuu, isije ikatokea ghasia miongoni mwa watu.


Basi palikuwa na mfungwa mashuhuri siku zile, aitwaye Baraba.


Kwa hiyo nitamrudi, kisha nitamfungua. [


Maana ilimlazimu kuwafungulia mfungwa mmoja wakati wa sikukuu.]


Wakapiga kelele wote pamoja, wakisema, Mwondoe huyu, utufungulie Baraba.


Lakini Petro akasimama nje mlangoni. Basi yule mwanafunzi mwingine aliyejulikana na Kuhani Mkuu akatoka, akasema na mlinda mlango, akamleta Petro ndani.


Basi ndipo alipomtia mikononi mwao ili asulubiwe; nao wakampokea Yesu.


Na miaka miwili ilipotimia, Feliki akampokea Porkio Festo atawale badala yake. Na Feliki, akitaka kuwafanyia Wayahudi fadhili, akamwacha Paulo akiwa amefungwa.


Lakini Festo akitaka kujipendekeza kwa Wayahudi akamjibu Paulo, akisema, Je! Wataka kwenda Yerusalemu, ukahukumiwe huko mbele yangu kwa ajili ya mambo hayo?