Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 27:15 - Swahili Revised Union Version

15 Basi wakati wa sikukuu, mtawala desturi yake huwafungulia mkutano mfungwa mmoja waliyemtaka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Ilikuwa kawaida wakati wa sikukuu ya Pasaka mkuu wa mkoa kuwafungulia Wayahudi mfungwa mmoja waliyemtaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Ilikuwa kawaida wakati wa sikukuu ya Pasaka mkuu wa mkoa kuwafungulia Wayahudi mfungwa mmoja waliyemtaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Ilikuwa kawaida wakati wa sikukuu ya Pasaka mkuu wa mkoa kuwafungulia Wayahudi mfungwa mmoja waliyemtaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Basi ilikuwa ni desturi ya mtawala kumfungua mfungwa mmoja aliyechaguliwa na umati wa watu wakati wa sikukuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Basi ilikuwa ni desturi ya mtawala kumfungua mfungwa mmoja aliyechaguliwa na umati wa watu wakati wa sikukuu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Basi wakati wa sikukuu, mtawala desturi yake huwafungulia mkutano mfungwa mmoja waliyemtaka.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:15
11 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wakasema, Isiwe wakati wa sikukuu, isije ikatokea ghasia miongoni mwa watu.


Basi palikuwa na mfungwa mashuhuri siku zile, aitwaye Baraba.


Kwa hiyo nitamrudi, kisha nitamfungua. [


Maana ilimlazimu kuwafungulia mfungwa mmoja wakati wa sikukuu.]


Wakapiga kelele wote pamoja, wakisema, Mwondoe huyu, utufungulie Baraba.


Lakini Petro akasimama nje mlangoni. Basi yule mwanafunzi mwingine aliyejulikana na Kuhani Mkuu akatoka, akasema na mlinda mlango, akamleta Petro ndani.


Basi ndipo alipomtia mikononi mwao ili asulubiwe; nao wakampokea Yesu.


Na miaka miwili ilipotimia, Feliki akampokea Porkio Festo atawale badala yake. Na Feliki, akitaka kuwafanyia Wayahudi fadhili, akamwacha Paulo akiwa amefungwa.


Lakini Festo akitaka kujipendekeza kwa Wayahudi akamjibu Paulo, akisema, Je! Wataka kwenda Yerusalemu, ukahukumiwe huko mbele yangu kwa ajili ya mambo hayo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo