Mathayo 27:16 - Swahili Revised Union Version16 Basi palikuwa na mfungwa mashuhuri siku zile, aitwaye Baraba. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Wakati huo kulikuwa na mfungwa aliyejulikana sana, jina lake Baraba. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Wakati huo kulikuwa na mfungwa aliyejulikana sana, jina lake Baraba. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Wakati huo kulikuwa na mfungwa aliyejulikana sana, jina lake Baraba. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Palikuwa na mfungwa mmoja mwenye sifa mbaya, aliyeitwa Baraba. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Wakati huo alikuwepo mfungwa mmoja mwenye sifa mbaya, aliyeitwa Baraba. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Basi palikuwa na mfungwa mashuhuri siku zile, aitwaye Baraba. Tazama sura |