Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 27:16 - Swahili Revised Union Version

16 Basi palikuwa na mfungwa mashuhuri siku zile, aitwaye Baraba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Wakati huo kulikuwa na mfungwa aliyejulikana sana, jina lake Baraba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Wakati huo kulikuwa na mfungwa aliyejulikana sana, jina lake Baraba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Wakati huo kulikuwa na mfungwa aliyejulikana sana, jina lake Baraba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Palikuwa na mfungwa mmoja mwenye sifa mbaya, aliyeitwa Baraba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Wakati huo alikuwepo mfungwa mmoja mwenye sifa mbaya, aliyeitwa Baraba.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Basi palikuwa na mfungwa mashuhuri siku zile, aitwaye Baraba.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:16
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakati wa sikukuu, mtawala desturi yake huwafungulia mkutano mfungwa mmoja waliyemtaka.


Basi walipokutanika, Pilato akawaambia, Mnataka niwafungulie yupi? Yule Baraba, au Yesu aitwaye Kristo?


Palikuwa na mtu aitwaye Baraba, aliyefungwa pamoja na waasi, waliosababisha mauaji katika uhalifu huo.


Akamfungua yule aliyetupwa gerezani kwa ajili ya fitina na uuaji, yule waliyemtaka, akamtoa Yesu wamfanyie watakavyo.


Basi wakapiga kelele tena kusema, Si huyu, bali Baraba. Naye yule Baraba alikuwa mnyang'anyi.


Bali ninyi mlimkana yule Mtakatifu, yule Mwenye haki, mkataka mpewe mwuaji;


ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao.


Nisalimieni Androniko na Yunia, jamaa zangu, waliofungwa pamoja nami, ambao ni maarufu miongoni mwa mitume; nao walikuwa katika Kristo kabla yangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo