Mathayo 26:5 - Swahili Revised Union Version5 Lakini wakasema, Isiwe wakati wa sikukuu, isije ikatokea ghasia miongoni mwa watu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Lakini wakaamua jambo hilo lisifanyike wakati wa sikukuu, kusije kukatokea ghasia kati ya watu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Lakini wakaamua jambo hilo lisifanyike wakati wa sikukuu, kusije kukatokea ghasia kati ya watu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Lakini wakaamua jambo hilo lisifanyike wakati wa sikukuu, kusije kukatokea ghasia kati ya watu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Lakini wakasema, “Isiwe wakati wa Sikukuu, kusitokee ghasia miongoni mwa watu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Lakini wakasema, “Isiwe wakati wa Sikukuu, kusitokee ghasia miongoni mwa watu.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Lakini wakasema, Isiwe wakati wa sikukuu, isije ikatokea ghasia miongoni mwa watu. Tazama sura |