Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 23:18 - Swahili Revised Union Version

18 Wakapiga kelele wote pamoja, wakisema, Mwondoe huyu, utufungulie Baraba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Lakini wote wakapiga kelele pamoja: “Mwondoe huyo, utufungulie Baraba!” (

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Lakini wote wakapiga kelele pamoja: “Mwondoe huyo, utufungulie Baraba!” (

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Lakini wote wakapiga kelele pamoja: “Mwondoe huyo, utufungulie Baraba!” (

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Ndipo watu wote wakapiga kelele kwa pamoja, “Mwondoe mtu huyu! Tufungulie Baraba!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Ndipo watu wote wakapiga kelele kwa pamoja, “Mwondoe mtu huyo! Tufungulie Baraba!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Wakapiga kelele wote pamoja, wakisema, Mwondoe huyu, utufungulie Baraba.

Tazama sura Nakili




Luka 23:18
10 Marejeleo ya Msalaba  

Maana ilimlazimu kuwafungulia mfungwa mmoja wakati wa sikukuu.]


Naye ni mtu aliyetupwa gerezani kwa ajili ya fitina iliyotokea mjini, na kwa uuaji


Lakini Petro akasimama nje mlangoni. Basi yule mwanafunzi mwingine aliyejulikana na Kuhani Mkuu akatoka, akasema na mlinda mlango, akamleta Petro ndani.


Maana kundi kubwa la watu wakamfuata, wakipiga kelele, na kusema, Na aondolewe mbali.


Wakamsikiliza mpaka neno lile, wakapaza sauti zao, wakisema, Mwondoe huyu katika nchi, kwa maana haifai aishi.


Bali ninyi mlimkana yule Mtakatifu, yule Mwenye haki, mkataka mpewe mwuaji;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo