Luka 23:19 - Swahili Revised Union Version19 Naye ni mtu aliyetupwa gerezani kwa ajili ya fitina iliyotokea mjini, na kwa uuaji Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Baraba alikuwa ametiwa ndani kwa kusababisha uasi katika mji na pia kwa sababu ya kuua.) Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Baraba alikuwa ametiwa ndani kwa kusababisha uasi katika mji na pia kwa sababu ya kuua.) Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Baraba alikuwa ametiwa ndani kwa kusababisha uasi katika mji na pia kwa sababu ya kuua.) Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 (Baraba alikuwa amefungwa gerezani kwa sababu ya maasi yaliyokuwa yametokea mjini, na kwa ajili ya uuaji.) Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 (Baraba alikuwa amefungwa gerezani kwa sababu ya maasi yaliyokuwa yametokea mjini, na kwa ajili ya uuaji). Tazama suraBIBLIA KISWAHILI19 Naye ni mtu aliyetupwa gerezani kwa ajili ya fitina iliyotokea mjini, na kwa uuaji Tazama sura |