Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 23:20 - Swahili Revised Union Version

20 Basi Pilato alisema nao mara ya pili, kwa vile alivyotaka kumfungua Yesu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Pilato alitaka kumwachilia Yesu, hivyo akasema nao tena;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Pilato alitaka kumwachilia Yesu, hivyo akasema nao tena;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Pilato alitaka kumwachilia Yesu, hivyo akasema nao tena;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Pilato, akitaka kumwachia Isa, akasema nao tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Pilato, akitaka kumwachia Isa, akasema nao tena.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Basi Pilato alisema nao mara ya pili, kwa vile alivyotaka kumfungua Yesu.

Tazama sura Nakili




Luka 23:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na alipokuwa ameketi juu ya kiti cha hukumu, mkewe alimpelekea mjumbe, kumwambia, Usiwe na neno na yule mwenye haki; kwa sababu nimeteswa mengi leo katika ndoto kwa ajili yake.


Pilato kwa kupenda kuwaridhisha watu, akawafungulia Baraba; akamtoa Yesu, baada ya kumpiga mijeledi, ili asulubiwe.


Naye ni mtu aliyetupwa gerezani kwa ajili ya fitina iliyotokea mjini, na kwa uuaji


Lakini wakapiga kelele, wakisema, Msulubishe. Msulubishe.


Na tangu hapo Pilato akatafuta kumfungua; lakini Wayahudi wakapiga makelele wakisema, Ukimfungua huyu, wewe si rafiki yake Kaisari; kila mtu ajifanyaye kuwa mfalme humfitini Kaisari.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo