Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 23:21 - Swahili Revised Union Version

21 Lakini wakapiga kelele, wakisema, Msulubishe. Msulubishe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 lakini wao wakapiga kelele: “Msulubishe, msulubishe!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 lakini wao wakapiga kelele: “Msulubishe, msulubishe!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 lakini wao wakapiga kelele: “Msulubishe, msulubishe!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Lakini wao wakaendelea kupiga kelele wakisema, “Msulubishe! Msulubishe!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Lakini wao wakaendelea kupiga kelele wakisema, “Msulubishe! Msulubishe!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Lakini wakapiga kelele, wakisema, Msulubishe. Msulubishe.

Tazama sura Nakili




Luka 23:21
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wakapiga kelele tena, Msulubishe.


Basi Pilato alisema nao mara ya pili, kwa vile alivyotaka kumfungua Yesu.


Akawaambia mara ya tatu, Kwa sababu gani? Huyu ametenda uovu gani? Sikuona kwake hata neno lipasalo kufa. Basi nikiisha kumrudi nitamfungua.


Lakini wakatoa sauti zao kwa nguvu sana, wakitaka asulubiwe. Sauti zao zikashinda.


Basi wale wakapiga kelele, Mwondoshe! Mwondoshe! Msulubishe! Pilato akawaambia, Je! Nimsulubishe mfalme wenu! Wakuu wa makuhani wakamjibu, Sisi hatuna mfalme ila Kaisari.


Na ijapokuwa hawakuona sababu ya kumwua wakamwomba Pilato auawe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo