Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 14:4 - Swahili Revised Union Version

Kwa sababu Yohana alimwambia, Si halali kwako kuwa naye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisa ni kwamba Yohane alikuwa amemwambia Herode, “Si halali kwako kuishi na huyo mwanamke!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisa ni kwamba Yohane alikuwa amemwambia Herode, “Si halali kwako kuishi na huyo mwanamke!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisa ni kwamba Yohane alikuwa amemwambia Herode, “Si halali kwako kuishi na huyo mwanamke!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa kuwa Yahya alikuwa amemwambia Herode: “Si halali kwako kuwa na huyo mwanamke.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa kuwa Yahya alikuwa amemwambia Herode: “Si halali kwako kuwa na huyo mwanamke.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa sababu Yohana alimwambia, Si halali kwako kuwa naye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 14:4
12 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Nathani akamwambia Daudi, Wewe ndiwe mtu huyo. BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Nilikutia mafuta, uwe mfalme juu ya Israeli, nikakuokoa kutoka kwa mkono wa Sauli;


Ukamwambie, ukisema, BWANA asema hivi, Je! Umeua, ukatamalaki? Nawe utamwambia, kusema, BWANA asema hivi, Mahali pale mbwa walipoiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba na damu yako, naam, damu yako.


Waovu hukimbia wasipofuatiwa na mtu; Bali wenye haki ni wajasiri kama simba.


Wao waiachao sheria huwasifu waovu; Bali wao waishikao hushindana nao.


Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi kulingana na neno hili, bila shaka kwa hao hakuna asubuhi.


Basi Yeremia, nabii, akamwambia Sedekia, mfalme wa Yuda, maneno hayo yote katika Yerusalemu,


Usifunue utupu wa mke wa nduguyo; maana, ni utupu wa nduguyo.


Tena mwanamume akimtwaa mke wa nduguye, ni upotovu; ameufunua utupu wa nduguye; hao watakuwa hawana wana.


kwa sababu Yohana alimwambia Herode, Si halali kwako kuwa na mke wa nduguyo.