Mathayo 14:4 - Swahili Revised Union Version4 Kwa sababu Yohana alimwambia, Si halali kwako kuwa naye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Kisa ni kwamba Yohane alikuwa amemwambia Herode, “Si halali kwako kuishi na huyo mwanamke!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Kisa ni kwamba Yohane alikuwa amemwambia Herode, “Si halali kwako kuishi na huyo mwanamke!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Kisa ni kwamba Yohane alikuwa amemwambia Herode, “Si halali kwako kuishi na huyo mwanamke!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 kwa kuwa Yahya alikuwa amemwambia Herode: “Si halali kwako kuwa na huyo mwanamke.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 kwa kuwa Yahya alikuwa amemwambia Herode: “Si halali kwako kuwa na huyo mwanamke.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Kwa sababu Yohana alimwambia, Si halali kwako kuwa naye. Tazama sura |