Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 14:5 - Swahili Revised Union Version

5 Naye alipotaka kumwua, aliwaogopa watu, maana walimwona Yohana kuwa nabii.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Herode alitaka kumuua Yohane, lakini aliogopa watu kwa sababu kwao Yohane alikuwa nabii.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Herode alitaka kumuua Yohane, lakini aliogopa watu kwa sababu kwao Yohane alikuwa nabii.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Herode alitaka kumuua Yohane, lakini aliogopa watu kwa sababu kwao Yohane alikuwa nabii.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Herode alitaka sana kumuua Yahya, lakini akaogopa watu, kwa maana walimtambua kuwa ni nabii.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Herode alitaka sana kumuua Yahya, lakini akaogopa watu, kwa maana walimtambua kuwa ni nabii.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Naye alipotaka kumwua, aliwaogopa watu, maana walimwona Yohana kuwa nabii.

Tazama sura Nakili




Mathayo 14:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

na Yehoyakimu, mfalme, na mashujaa wake wote, na wakuu wake wote, waliposikia maneno yake, mfalme akataka kumwua; lakini Uria alipopata habari, aliogopa, akakimbia akaenda Misri.


Lakini kwa nini mlitoka? Ni kuona nabii? Naam, nawaambia, na aliye mkuu zaidi ya nabii.


Na tukisema, Ulitoka kwa wanadamu, twaogopa mkutano; maana watu wote wamwona Yohana kuwa ni nabii.


Kwa sababu Yohana alikuja kwenu kwa njia ya haki, ninyi msimwamini; lakini watoza ushuru na makahaba walimwamini, nanyi hata mlipoona, hamkutubu baadaye, ili kumwamini.


Na tukisema ulitoka kwa wanadamu, watu wote watatupiga kwa mawe, kwa kuwa wamemkubali Yohana kuwa ni nabii.


Nao walipokwisha kuwatisha tena wakawafungua, wasione njia ya kuwaadhibu, kwa sababu ya watu; kwa kuwa watu wote walikuwa wakimtukuza Mungu kwa hayo yaliyotendeka;


Ndipo yule jemadari akaenda pamoja na watumishi, wakawaleta, lakini si kwa nguvu, kwa maana waliogopa watu wasije wakawapiga kwa mawe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo