Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 6:18 - Swahili Revised Union Version

18 kwa sababu Yohana alimwambia Herode, Si halali kwako kuwa na mke wa nduguyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Yohane alikuwa amemwambia Herode, “Si halali kwako kumchukua mke wa ndugu yako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Yohane alikuwa amemwambia Herode, “Si halali kwako kumchukua mke wa ndugu yako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Yohane alikuwa amemwambia Herode, “Si halali kwako kumchukua mke wa ndugu yako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Yahya alikuwa amemwambia Herode, “Si halali kwako kuwa na mke wa ndugu yako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Yahya alikuwa amemwambia Herode, “Si halali kwako kuwa na mke wa ndugu yako.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 kwa sababu Yohana alimwambia Herode, Si halali kwako kuwa na mke wa nduguyo.

Tazama sura Nakili




Marko 6:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mikaya akasema, Kama BWANA aishivyo, neno lile BWANA aniambialo, ndilo nitakalolinena.


Usifunue utupu wa mke wa nduguyo; maana, ni utupu wa nduguyo.


Tena mwanamume akimtwaa mke wa nduguye, ni upotovu; ameufunua utupu wa nduguye; hao watakuwa hawana wana.


Kisha wakamtemea mate, wakautwaa ule mwanzi, wakampigapiga kichwani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo