Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 6:19 - Swahili Revised Union Version

19 Naye yule Herodia akawa akimvizia, akataka kumwua, asiweze.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Basi, Herodia alimchukia sana Yohane, akataka kumuua, asiweze.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Basi, Herodia alimchukia sana Yohane, akataka kumuua, asiweze.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Basi, Herodia alimchukia sana Yohane, akataka kumuua, asiweze.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Kwa hiyo Herodia alikuwa amemwekea Yahya kinyongo, akataka kumuua. Lakini hakuweza,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Kwa hiyo Herodia alikuwa amemwekea Yahya kinyongo akataka kumuua. Lakini hakuweza,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Naye yule Herodia akawa akimvizia, akataka kumwua, asiweze.

Tazama sura Nakili




Marko 6:19
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ahabu akamwambia Eliya, Je! Umenipata, ewe adui yangu? Akamwambia, Nimekupata, kwa sababu umejiuza utende yaliyo mabaya machoni pa BWANA.


Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.


Unaona mambo mengi, lakini huyatii moyoni; masikio yake yako wazi, lakini hasikii.


Maana Herode alikuwa amemkamata Yohana, akamfunga, akamtia gerezani, kwa ajili ya Herodia, mke wa Filipo nduguye.


Hata ilipofika sikukuu ya kuzaliwa kwake Herode, binti ya Herodia alicheza mbele ya watu, akampendeza Herode.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo