Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 18:16 - Swahili Revised Union Version

16 Usifunue utupu wa mke wa nduguyo; maana, ni utupu wa nduguyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Kamwe usilale na mke wa ndugu yako; huyo ni shemeji yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Kamwe usilale na mke wa ndugu yako; huyo ni shemeji yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Kamwe usilale na mke wa ndugu yako; huyo ni shemeji yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 “ ‘Usikutane kimwili na mke wa kaka yako; utamvunjia heshima kaka yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 “ ‘Usikutane kimwili na mke wa kaka yako; utamvunjia heshima kaka yako.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Usifunue utupu wa mke wa nduguyo; maana, ni utupu wa nduguyo.

Tazama sura Nakili




Walawi 18:16
7 Marejeleo ya Msalaba  

Tena mwanamume akimtwaa mke wa nduguye, ni upotovu; ameufunua utupu wa nduguye; hao watakuwa hawana wana.


wakisema, Mwalimu, Musa alisema, Mtu akifa, akiwa hana watoto, ndugu yake na amwoe yule mkewe, ili ampatie nduguye mzao.


Mwalimu, Musa alituandikia ya kwamba ndugu ya mtu akifa, akamwacha mkewe wala hana mtoto, ndugu yake amtwae yule mkewe akampatie ndugu yake mzao.


Kwa maana Herode mwenyewe alikuwa ametuma watu, akamkamata Yohana, akamfunga gerezani, kwa ajili ya Herodia, mkewe Filipo, ndugu yake, kwa kuwa amemwoa;


Lakini mfalme Herode alipokaripiwa na yeye kwa ajili ya Herodia, mke wa nduguye, na maovu yote aliyoyafanya Herode,


Watakapoketi pamoja mtu na nduguye, mmojawapo akafa, wala hana mwana wa kiume, mke wa yule aliyekufa asiolewe nje na mgeni; nduguye yule mumewe amwingilie amweke kwake awe mkewe, kumfanyia yampasayo nduguye mumewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo