Methali 28:1 - Swahili Revised Union Version1 Waovu hukimbia wasipofuatiwa na mtu; Bali wenye haki ni wajasiri kama simba. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Waovu hukimbia japo hawafukuzwi na mtu, lakini waadilifu ni hodari kama simba. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Waovu hukimbia japo hawafukuzwi na mtu, lakini waadilifu ni hodari kama simba. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Waovu hukimbia japo hawafukuzwi na mtu, lakini waadilifu ni hodari kama simba. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Mtu mwovu hukimbia ingawa hakuna yeyote anayemfukuza, bali wenye haki ni wajasiri kama simba. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Mtu mwovu hukimbia ingawa hakuna yeyote anayemfukuza, bali wenye haki ni wajasiri kama simba. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Waovu hukimbia wasipofuatiwa na mtu; Bali wenye haki ni wajasiri kama simba. Tazama sura |