Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 14:11 - Swahili Revised Union Version

Kichwa chake kikaletwa katika kombe, akapewa yule msichana; akakileta kwa mamaye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kichwa chake kikaletwa katika sinia, wakampa yule msichana, naye akampelekea mama yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kichwa chake kikaletwa katika sinia, wakampa yule msichana, naye akampelekea mama yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kichwa chake kikaletwa katika sinia, wakampa yule msichana, naye akampelekea mama yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kichwa chake kikaletwa kwenye sinia, akapewa yule binti, naye akampelekea mama yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kichwa chake kikaletwa kwenye sinia, akapewa yule binti, naye akampelekea mama yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kichwa chake kikaletwa katika kombe, akapewa yule msichana; akakileta kwa mamaye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 14:11
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ghadhabu yao na ilaaniwe, maana ilikuwa kali, Na hasira yao, maana ilikuwa haina huruma. Nitawagawa katika Yakobo, Nitawatawanya katika Israeli.


Ghadhabu ni kali, na hasira ni gharika; Lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu.


Wamwagao damu humchukia mtu mkamilifu; Bali wenye haki humtunza nafsi yake.


Bali macho yako na moyo wako hauna utakalo ila kutamani, na kumwaga damu isiyo na hatia, na kudhulumu, na kutenda jeuri.


Basi, kama mimi niishivyo, asema Bwana MUNGU, nitakuweka tayari kwa damu, na damu itakufuatia; ikiwa hukuchukia damu, basi damu itakufuatia.


akatuma mtu, akamkata kichwa Yohana mle gerezani.


Wanafunzi wake wakaenda, wakamchukua yule maiti, wakamzika; kisha wakaenda wakampasha Yesu habari.


Naye, huku akichochewa na mamaye, akasema, Nipe hapa katika kombe kichwa cha Yohana Mbatizaji.


kwa kuwa walimwaga damu ya watakatifu na ya manabii, nawe umewapa damu wainywe; ndiyo wanayostahili.


Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu. Nami nilipomwona nikastaajabu sana.