Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 14:10 - Swahili Revised Union Version

10 akatuma mtu, akamkata kichwa Yohana mle gerezani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Basi, Herode akatuma mtu gerezani amkate kichwa Yohane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Basi, Herode akatuma mtu gerezani amkate kichwa Yohane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Basi, Herode akatuma mtu gerezani amkate kichwa Yohane.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Hivyo akaagiza Yahya akatwe kichwa mle gerezani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Hivyo akaagiza Yahya akatwe kichwa mle gerezani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 akatuma mtu, akamkata kichwa Yohana mle gerezani.

Tazama sura Nakili




Mathayo 14:10
12 Marejeleo ya Msalaba  

lakini waliwadhihaki wajumbe wa Mungu, na kuyadharau maneno yake, na kuwacheka manabii wake, hata ilipozidi ghadhabu ya BWANA juu ya watu wake, hata kusiwe na kuponya.


Nimewapiga watoto wako bure; hawakukubali kurudiwa; upanga wenu wenyewe umewala manabii wako, kama simba aharibuye.


Kichwa chake kikaletwa katika kombe, akapewa yule msichana; akakileta kwa mamaye.


Naye mfalme akasikitika; lakini kwa ajili ya viapo vyake, na kwa ajili ya wale walioketi karamuni pamoja naye, akaamuru apewe;


ila nawaambia, ya kwamba Eliya amekwisha kuja, wasimtambue, lakini wakamtenda yote waliyotaka. Vivyo hivyo Mwana wa Adamu naye yuaenda kuteswa kwao.


Lakini nawaambia, Eliya amekwisha kuja, nao wakamtenda yote waliyoyataka kama alivyoandikiwa.


Lakini Herode akasema, Yohana nilimkata kichwa; basi ni nani huyu ambaye ninasikia mambo haya juu yake? Akataka kumwona.


Hata watakapoumaliza ushuhuda wao, yule mnyama atokaye katika kuzimu atafanya vita nao, naye atawashinda na kuwaua.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo