Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 22:46 - Swahili Revised Union Version

Wageni nao waliishiwa nguvu, Wakatoka katika ngome zao wakitetemeka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wageni walikufa moyo; wakaja kutoka ngome zao wakitetemeka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wageni walikufa moyo; wakaja kutoka ngome zao wakitetemeka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wageni walikufa moyo; wakaja kutoka ngome zao wakitetemeka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wote wanalegea, wanatoka katika ngome zao wakitetemeka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wote wanalegea, wanatoka katika ngome zao wakitetemeka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wageni nao waliishiwa nguvu, Wakatoka katika ngome zao wakitetemeka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 22:46
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na watu wataingia ndani ya pango za majabali, na ndani ya mashimo ya nchi, mbele za utisho wa BWANA na utukufu wa enzi yake, atakapoondoka ili aitetemeshe mno dunia.


ili aingie ndani ya pango za majabali, na ndani ya tundu za miamba iliyopasuka, mbele za utisho wa BWANA na utukufu wa enzi yake, atakapoondoka ili aitetemeshe mno dunia.


Kwa maana sisi sote tumekuwa kama mtu aliye mchafu, na matendo yetu yote ya haki yamekuwa kama nguo iliyotiwa unajisi; sisi sote twanyauka kama jani, na maovu yetu yatuondoa, kama upepo uondoavyo.


Nao wajapojificha katika kilele cha Karmeli, nitawatafuta na kuwatoa toka huko; na wajapositirika katika vilindi vya bahari nisiwaone, nitamwagiza joka huko, naye atawauma.


Watayaramba mavumbi kama nyoka, kama vitu vitambaavyo juu ya nchi watatoka katika mahali walimojificha, wakitetemeka; watakuja kwa BWANA, Mungu wetu, kwa hofu, nao wataogopa kwa sababu yako.


Maana jua huchomoza kwa joto kali, huyakausha majani; ua lake huanguka, uzuri wa umbo lake hupotea; vivyo hivyo naye tajiri atanyauka katika njia zake.


Basi, hao wote wawili wakajidhihirisha mbele ya ngome ya Wafilisti, na wale Wafilisti wakasema, Kumbe! Wale Waebrania wanatoka katika mashimo walimojificha!