Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 22:46 - Swahili Revised Union Version

46 Wageni nao waliishiwa nguvu, Wakatoka katika ngome zao wakitetemeka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

46 Wageni walikufa moyo; wakaja kutoka ngome zao wakitetemeka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

46 Wageni walikufa moyo; wakaja kutoka ngome zao wakitetemeka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

46 Wageni walikufa moyo; wakaja kutoka ngome zao wakitetemeka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

46 Wote wanalegea, wanatoka katika ngome zao wakitetemeka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

46 Wote wanalegea, wanatoka katika ngome zao wakitetemeka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

46 Wageni nao waliishiwa nguvu, Wakatoka katika ngome zao wakitetemeka.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 22:46
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na watu wataingia ndani ya pango za majabali, na ndani ya mashimo ya nchi, mbele za utisho wa BWANA na utukufu wa enzi yake, atakapoondoka ili aitetemeshe mno dunia.


ili aingie ndani ya pango za majabali, na ndani ya tundu za miamba iliyopasuka, mbele za utisho wa BWANA na utukufu wa enzi yake, atakapoondoka ili aitetemeshe mno dunia.


Kwa maana sisi sote tumekuwa kama mtu aliye mchafu, na matendo yetu yote ya haki yamekuwa kama nguo iliyotiwa unajisi; sisi sote twanyauka kama jani, na maovu yetu yatuondoa, kama upepo uondoavyo.


Nao wajapojificha katika kilele cha Karmeli, nitawatafuta na kuwatoa toka huko; na wajapositirika katika vilindi vya bahari nisiwaone, nitamwagiza joka huko, naye atawauma.


Watayaramba mavumbi kama nyoka, kama vitu vitambaavyo juu ya nchi watatoka katika mahali walimojificha, wakitetemeka; watakuja kwa BWANA, Mungu wetu, kwa hofu, nao wataogopa kwa sababu yako.


Maana jua huchomoza kwa joto kali, huyakausha majani; ua lake huanguka, uzuri wa umbo lake hupotea; vivyo hivyo naye tajiri atanyauka katika njia zake.


Basi, hao wote wawili wakajidhihirisha mbele ya ngome ya Wafilisti, na wale Wafilisti wakasema, Kumbe! Wale Waebrania wanatoka katika mashimo walimojificha!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo