Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 101:4 - Swahili Revised Union Version

Moyo wa ukaidi utaondoka kwangu, Lililo ovu sitalijua.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Upotovu wowote ule uwe mbali nami; sitahusika kabisa na uovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Upotovu wowote ule uwe mbali nami; sitahusika kabisa na uovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Upotovu wowote ule uwe mbali nami; sitahusika kabisa na uovu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Moyo wa ukaidi utakuwa mbali nami; nitajitenga na kila ubaya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Moyo wa ukaidi utakuwa mbali nami; nitajitenga na kila ubaya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Moyo wa ukaidi utaondoka kwangu, Lililo ovu sitalijua.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 101:4
15 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi watenda mabaya, ondokeni kwangu, Niyashike maagizo ya Mungu wangu.


Sikai pamoja na watu waovu, Wala sitaingia kuwa pamoja na wanafiki.


Nimelichukia kusanyiko la watenda mabaya, Wala sitaketi pamoja na watu waovu.


Ondokeni kwangu, ninyi nyote mtendao uovu; Kwa kuwa BWANA ameisikia sauti ya kilio changu.


Wenye uhalifu moyoni ni chukizo kwa BWANA; Walio wakamilifu katika njia zao humpendeza.


Usifanye urafiki na mtu mwenye hasira nyingi; Wala usiende na mtu wa ghadhabu nyingi;


Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki; Na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu.


Maana mtu mjeuri ni chukizo kwa BWANA, Bali siri yake ni pamoja na wanyofu.


Kumcha BWANA ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.


Enyi wajinga, acheni ujinga, mkaishi, Mkaende katika njia ya ufahamu.


Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.


nami nikateremshwa ndani ya kapu, katika dirisha la ukutani, nikaokoka katika mikono yake.


Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, wenye mhuri huu, Bwana awajua walio wake. Na tena, Kila aliitaye jina la Bwana na auache uovu.