Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 20:14 - Swahili Revised Union Version

Naye akiisha kusema hayo, akageuka nyuma, akamwona Yesu amesimama, asijue ya kuwa ni Yesu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya kusema hayo, aligeuka nyuma, akamwona Yesu amesimama hapo, lakini asitambue ya kuwa ni Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya kusema hayo, aligeuka nyuma, akamwona Yesu amesimama hapo, lakini asitambue ya kuwa ni Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya kusema hayo, aligeuka nyuma, akamwona Yesu amesimama hapo, lakini asitambue ya kuwa ni Yesu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya kusema hayo, akageuka, akamwona Isa amesimama, lakini hakumtambua.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya kusema hayo, akageuka, akamwona Isa amesimama, lakini hakumtambua.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye akiisha kusema hayo, akageuka nyuma, akamwona Yesu amesimama, asijue ya kuwa ni Yesu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 20:14
10 Marejeleo ya Msalaba  

Yusufu akawatambua nduguze, bali wao hawakumtambua yeye.


Na tazama, Yesu akakutana nao, akisema, Salamu! Wakakaribia wakamshika miguu, wakamsujudia.


Baada ya hayo akawatokea wawili miongoni mwao, akiwa na sura nyingine; nao walikuwa wakitembea njiani kwenda mashambani.


Naye alipofufuka alfajiri siku ya kwanza ya juma, alimtokea kwanza Mariamu Magdalene, ambaye alikuwa amemtoa pepo saba.


Macho yao yakafumbwa wasimtambue.


Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua; kisha akatoweka mbele yao.


lakini yeye alipita katikati yao, akaenda zake.


Asubuhi kulipokucha, Yesu alisimama ufuoni; lakini wanafunzi hawakujua ya kuwa ni Yesu.


Basi wakaokota mawe ili wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.