Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 42:8 - Swahili Revised Union Version

8 Yusufu akawatambua nduguze, bali wao hawakumtambua yeye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Ingawa Yosefu aliwatambua kaka zake, wao hawakumtambua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Ingawa Yosefu aliwatambua kaka zake, wao hawakumtambua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Ingawa Yosefu aliwatambua kaka zake, wao hawakumtambua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Ingawa Yusufu aliwatambua ndugu zake, wao hawakumtambua.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Ingawa Yusufu aliwatambua ndugu zake, wao hawakumtambua.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Yusufu akawatambua nduguze, bali wao hawakumtambua yeye.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 42:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Hivi ndivyo vizazi vya Yakobo. Yusufu, aliyekuwa mwenye miaka kumi na saba, alikuwa akichunga kondoo pamoja na ndugu zake; naye alikuwa kijana pamoja na wana wa Bilha, na wana wa Zilpa, wake wa baba yake. Yusufu akamletea baba yao habari zao mbaya.


Naye Yusufu alikuwa mwenye miaka thelathini, aliposimama mbele ya Farao, mfalme wa Misri. Yusufu akatoka mbele ya uso wa Farao, akasafiri katika nchi yote ya Misri.


Macho yao yakafumbwa wasimtambue.


Naye akiisha kusema hayo, akageuka nyuma, akamwona Yesu amesimama, asijue ya kuwa ni Yesu.


Asubuhi kulipokucha, Yesu alisimama ufuoni; lakini wanafunzi hawakujua ya kuwa ni Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo