Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 20:14 - Swahili Revised Union Version

14 Naye akiisha kusema hayo, akageuka nyuma, akamwona Yesu amesimama, asijue ya kuwa ni Yesu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Baada ya kusema hayo, aligeuka nyuma, akamwona Yesu amesimama hapo, lakini asitambue ya kuwa ni Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Baada ya kusema hayo, aligeuka nyuma, akamwona Yesu amesimama hapo, lakini asitambue ya kuwa ni Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Baada ya kusema hayo, aligeuka nyuma, akamwona Yesu amesimama hapo, lakini asitambue ya kuwa ni Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Baada ya kusema hayo, akageuka, akamwona Isa amesimama, lakini hakumtambua.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Baada ya kusema hayo, akageuka, akamwona Isa amesimama, lakini hakumtambua.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Naye akiisha kusema hayo, akageuka nyuma, akamwona Yesu amesimama, asijue ya kuwa ni Yesu.

Tazama sura Nakili




Yohana 20:14
10 Marejeleo ya Msalaba  

Yusufu akawatambua nduguze, bali wao hawakumtambua yeye.


Na tazama, Yesu akakutana nao, akisema, Salamu! Wakakaribia wakamshika miguu, wakamsujudia.


Baada ya hayo akawatokea wawili miongoni mwao, akiwa na sura nyingine; nao walikuwa wakitembea njiani kwenda mashambani.


Naye alipofufuka alfajiri siku ya kwanza ya juma, alimtokea kwanza Mariamu Magdalene, ambaye alikuwa amemtoa pepo saba.


Macho yao yakafumbwa wasimtambue.


Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua; kisha akatoweka mbele yao.


lakini yeye alipita katikati yao, akaenda zake.


Asubuhi kulipokucha, Yesu alisimama ufuoni; lakini wanafunzi hawakujua ya kuwa ni Yesu.


Basi wakaokota mawe ili wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo