Yohana 20:14 - Swahili Revised Union Version14 Naye akiisha kusema hayo, akageuka nyuma, akamwona Yesu amesimama, asijue ya kuwa ni Yesu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Baada ya kusema hayo, aligeuka nyuma, akamwona Yesu amesimama hapo, lakini asitambue ya kuwa ni Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Baada ya kusema hayo, aligeuka nyuma, akamwona Yesu amesimama hapo, lakini asitambue ya kuwa ni Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Baada ya kusema hayo, aligeuka nyuma, akamwona Yesu amesimama hapo, lakini asitambue ya kuwa ni Yesu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Baada ya kusema hayo, akageuka, akamwona Isa amesimama, lakini hakumtambua. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Baada ya kusema hayo, akageuka, akamwona Isa amesimama, lakini hakumtambua. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Naye akiisha kusema hayo, akageuka nyuma, akamwona Yesu amesimama, asijue ya kuwa ni Yesu. Tazama sura |