Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 8:59 - Swahili Revised Union Version

59 Basi wakaokota mawe ili wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

59 Hapo wakaokota mawe ili wamtupie, lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

59 Hapo wakaokota mawe ili wamtupie, lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

59 Hapo wakaokota mawe ili wamtupie, lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

59 Ndipo wakaokota mawe ili kumpiga, lakini Isa akajificha, naye akatoka Hekaluni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

59 Ndipo wakaokota mawe ili kumpiga, lakini Isa akajificha, naye akatoka Hekaluni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

59 Basi wakaokota mawe ili wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.

Tazama sura Nakili




Yohana 8:59
18 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha wakawapiga hao watu walioko mlangoni kwa upofu, wadogo kwa wakubwa, hata wakashindwa kuupata mlango.


Na yeyote atakayelaani jina la BWANA hakika atauawa; mkutano wote watamwua kwa kumpiga kwa mawe; kama ni mgeni, kama ni mzaliwa, hapo atakapolaani jina la BWANA atauawa.


Lakini wale Mafarisayo wakatoka wakafanya shauri juu yake jinsi ya kumwangamiza.


Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua; kisha akatoweka mbele yao.


Kwa hiyo Yesu hakutembea tena kwa wazi katikati ya Wayahudi; bali alitoka huko, akaenda mahali karibu na jangwa, mpaka mji uitwao Efraimu; akakaa huko pamoja na wanafunzi wake.


Wale wanafunzi wakamwambia, Rabi, juzi juzi tu Wayahudi walikuwa wakitafuta kukupiga kwa mawe, nawe unakwenda huko tena?


Maadamu mnayo nuru, iaminini nuru hiyo, ili mpate kuwa wana wa nuru. Hayo aliyasema Yesu, akaenda zake, akajificha wasimwone.


Basi Pilato akawaambia, Haya! Mtwaeni ninyi, mkamhukumu kwa ile torati yenu! Wayahudi wakamwambia, Sisi hatuna ruhusa ya kuua mtu.


Lakini yule mtu aliyeponywa hakumjua ni nani; maana Yesu alikuwa amejitenga, kwa sababu palikuwa na watu wengi mahali pale.


Na alipokuwa akipita alimwona mtu, kipofu tangu kuzaliwa.


Wakapiga kelele kwa sauti kuu, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa nia moja,


Naye Daudi akafadhaika sana; kwa sababu watu walikuwa wakisema kwamba apigwe kwa mawe, kwa maana hao watu wote walisononeka, kila mtu kwa ajili ya wanawe na binti zake; lakini Daudi alijitia nguvu katika BWANA, Mungu wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo