Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 19:1 - Swahili Revised Union Version

Basi ndipo Pilato alipomtwaa Yesu, akampiga mijeledi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Pilato akaamuru Yesu achukuliwe, apigwe viboko.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Pilato akaamuru Yesu achukuliwe, apigwe viboko.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Pilato akaamuru Yesu achukuliwe, apigwe viboko.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Pilato akamtoa Isa akaamuru apigwe mijeledi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Pilato akamtoa Isa akaamuru apigwe mijeledi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi ndipo Pilato alipomtwaa Yesu, akampiga mijeledi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 19:1
16 Marejeleo ya Msalaba  

Wakulima wamelima mgongoni mwangu, Wamefanya mirefu mifuo yao.


Niliwatolea wapigao mgongo wangu, na wang'oao ndevu mashavu yangu; sikuficha uso wangu usipate fedheha na kutemewa mate.


Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.


kisha watampeleka kwa Mataifa wapate kumdhihaki, na kumpiga mijeledi, na kumsulubisha; na siku ya tatu atafufuka.


Kwa sababu hiyo, angalieni, mimi natuma kwenu manabii na wenye hekima na waandishi; na wengine wao ninyi mtawaua na kuwasulubisha, na wengine wao mtawapiga katika masinagogi yenu, na kuwafukuza mji kwa mji;


nao watampiga mijeledi, kisha watamwua; na siku ya tatu atafufuka.


Kwa hiyo nitamrudi, kisha nitamfungua. [


Lakini wakatoa sauti zao kwa nguvu sana, wakitaka asulubiwe. Sauti zao zikashinda.


Kwa Wayahudi mara tano nilipata mapigo arubaini kasoro moja.


wengine walijaribiwa kwa dhihaka na mapigo, naam, kwa minyororo, na kwa kutiwa gerezani;


Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe hai kwa mambo ya haki; na kwa kupigwa kwake mliponywa.