Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 19:2 - Swahili Revised Union Version

2 Nao askari wakasokota taji la miiba, wakamtia kichwani, wakamvika vazi la zambarau.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Nao askari wakasokota taji ya miiba, wakamtia kichwani, wakamvika na joho la rangi ya zambarau.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Nao askari wakasokota taji ya miiba, wakamtia kichwani, wakamvika na joho la rangi ya zambarau.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Nao askari wakasokota taji ya miiba, wakamtia kichwani, wakamvika na joho la rangi ya zambarau.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Askari wakasokota taji la miiba, wakamvika Isa kichwani. Wakamvalisha joho la zambarau.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Askari wakasokota taji ya miiba, wakamvika Isa kichwani. Wakamvalisha joho la zambarau.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Nao askari wakasokota taji la miiba, wakamtia kichwani, wakamvika vazi la zambarau.

Tazama sura Nakili




Yohana 19:2
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mimi ni mdudu wala si mtu, Nimedharauliwa na kupuuzwa na watu.


BWANA, mkombozi wa Israeli, Mtakatifu wake, amwambia hivi yeye anayedharauliwa na wanadamu; yeye anayechukiwa na taifa hili; yeye aliye mtumishi wao watawalao; Wafalme wataona, watasimama; wakuu nao watasujudu; kwa sababu ya BWANA aliye mwaminifu, Mtakatifu wa Israeli aliyekuchagua.


Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.


Basi Herode akamdhalilisha, pamoja na askari wake, akamdhihaki, na kumvika mavazi mazuri; kisha akamrudisha kwa Pilato.


Ndipo Yesu alipotoka nje, naye amevaa lile taji la miiba, na lile vazi la zambarau. Pilato akawaambia, Tazama, mtu huyu!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo