Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 19:1 - Swahili Revised Union Version

1 Basi ndipo Pilato alipomtwaa Yesu, akampiga mijeledi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Basi, Pilato akaamuru Yesu achukuliwe, apigwe viboko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Basi, Pilato akaamuru Yesu achukuliwe, apigwe viboko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Basi, Pilato akaamuru Yesu achukuliwe, apigwe viboko.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Ndipo Pilato akamtoa Isa akaamuru apigwe mijeledi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Ndipo Pilato akamtoa Isa akaamuru apigwe mijeledi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Basi ndipo Pilato alipomtwaa Yesu, akampiga mijeledi.

Tazama sura Nakili




Yohana 19:1
16 Marejeleo ya Msalaba  

Wakulima wamelima mgongoni mwangu, Wamefanya mirefu mifuo yao.


Niliwatolea wapigao mgongo wangu, na wang'oao ndevu mashavu yangu; sikuficha uso wangu usipate fedheha na kutemewa mate.


Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.


kisha watampeleka kwa Mataifa wapate kumdhihaki, na kumpiga mijeledi, na kumsulubisha; na siku ya tatu atafufuka.


Kwa sababu hiyo, angalieni, mimi natuma kwenu manabii na wenye hekima na waandishi; na wengine wao ninyi mtawaua na kuwasulubisha, na wengine wao mtawapiga katika masinagogi yenu, na kuwafukuza mji kwa mji;


nao watampiga mijeledi, kisha watamwua; na siku ya tatu atafufuka.


Kwa hiyo nitamrudi, kisha nitamfungua. [


Lakini wakatoa sauti zao kwa nguvu sana, wakitaka asulubiwe. Sauti zao zikashinda.


Kwa Wayahudi mara tano nilipata mapigo arubaini kasoro moja.


wengine walijaribiwa kwa dhihaka na mapigo, naam, kwa minyororo, na kwa kutiwa gerezani;


Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe hai kwa mambo ya haki; na kwa kupigwa kwake mliponywa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo