Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 19:3 - Swahili Revised Union Version

3 Wakawa wakimwendea, wakisema, Salamu! Mfalme wa Wayahudi! Wakampiga makofi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Wakawa wanakuja mbele yake na kusema: “Shikamoo, Mfalme wa Wayahudi!” Wakampiga makofi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Wakawa wanakuja mbele yake na kusema: “Shikamoo, Mfalme wa Wayahudi!” Wakampiga makofi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Wakawa wanakuja mbele yake na kusema: “Shikamoo, Mfalme wa Wayahudi!” Wakampiga makofi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Wakawa wanapanda pale alipo tena na tena, wakisema, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!” Huku wakimpiga makofi usoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Wakawa wanapanda pale alipo tena na tena, wakisema, “Salamu! Mfalme wa Wayahudi!” Huku wakimpiga makofi usoni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Wakawa wakimwendea, wakisema, Salamu! Mfalme wa Wayahudi! Wakampiga makofi.

Tazama sura Nakili




Yohana 19:3
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mara akamwendea Yesu, akasema, Salamu, Rabi, akambusu.


Wakasokota taji la miiba, wakaliweka juu ya kichwa chake, na mwanzi katika mkono wake wa kulia; wakapiga magoti mbele yake, wakamdhihaki, wakisema, Salamu, Mfalme wa Wayahudi!


wakaanza kumsalimu, Salamu, Mfalme wa Wayahudi!


Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe.


Basi aliposema hayo, mtumishi mmojawapo aliyesimama karibu alimpiga Yesu kofi akisema, Wamjibu hivi Kuhani Mkuu?


Basi Pilato akaingia tena ndani ya Praitorio, akamwita Yesu, akamwambia, Je! Wewe ni Mfalme wa Wayahudi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo