Isaya 50:6 - Swahili Revised Union Version6 Niliwatolea wapigao mgongo wangu, na wang'oao ndevu mashavu yangu; sikuficha uso wangu usipate fedheha na kutemewa mate. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Mgongo wangu niliwaachia walionipiga, mashavu yangu waliozingoa ndevu zangu; walioniaibisha na kunitemea mate, sikujificha mbali nao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Mgongo wangu niliwaachia walionipiga, mashavu yangu waliozingoa ndevu zangu; walioniaibisha na kunitemea mate, sikujificha mbali nao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Mgongo wangu niliwaachia walionipiga, mashavu yangu waliozing'oa ndevu zangu; walioniaibisha na kunitemea mate, sikujificha mbali nao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Niliwapa mgongo wangu wale wanipigao, mashavu yangu wale wang’oao ndevu zangu; sikuuficha uso wangu kutokana na fedheha na kutemewa mate. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Niliwapa mgongo wangu wale wanipigao, mashavu yangu wale wang’oao ndevu zangu; sikuuficha uso wangu kutokana na fedheha na kutemewa mate. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Niliwatolea wapigao mgongo wangu, na wang'oao ndevu mashavu yangu; sikuficha uso wangu usipate fedheha na kutemewa mate. Tazama sura |