Waebrania 11:36 - Swahili Revised Union Version36 wengine walijaribiwa kwa dhihaka na mapigo, naam, kwa minyororo, na kwa kutiwa gerezani; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema36 Wengine walidhihakiwa na kupigwa mijeledi, na wengine walifungwa minyororo na kutupwa gerezani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND36 Wengine walidhihakiwa na kupigwa mijeledi, na wengine walifungwa minyororo na kutupwa gerezani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza36 Wengine walidhihakiwa na kupigwa mijeledi, na wengine walifungwa minyororo na kutupwa gerezani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu36 Wengine walidhihakiwa na kupigwa, hata walifungwa minyororo na kutiwa gerezani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu36 Wengine walidhihakiwa na kupigwa, hata walifungwa minyororo na kutiwa gerezani. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI36 wengine walijaribiwa kwa dhihaka na mapigo, naam, kwa minyororo, na kwa kutiwa gerezani; Tazama sura |
Basi Hanameli, mwana wa mjomba wangu, akanijia ndani ya ukumbi wa walinzi, sawasawa na lile neno la BWANA, akaniambia, Tafadhali, ulinunue shamba langu lililoko Anathothi, katika nchi ya Benyamini; maana haki ya urithi ni yako, na haki ya ukombozi ni yako; ujinunulie. Ndipo nikajua kama neno hili ni neno la BWANA.