Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 17:9 - Swahili Revised Union Version

Mimi nawaombea hao; siuombei ulimwengu; bali hao ulionipa, kwa kuwa hao ni wako;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Nawaombea hao; siuombei ulimwengu, ila nawaombea wale ulionipa, maana ni wako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Nawaombea hao; siuombei ulimwengu, ila nawaombea wale ulionipa, maana ni wako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Nawaombea hao; siuombei ulimwengu, ila nawaombea wale ulionipa, maana ni wako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninawaombea wao. Siuombei ulimwengu, bali nawaombea wale ulionipa kwa sababu wao ni wako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninawaombea wao. Mimi siuombei ulimwengu, bali nawaombea wale ulionipa kwa sababu wao ni wako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mimi nawaombea hao; siuombei ulimwengu; bali hao ulionipa, kwa kuwa hao ni wako;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 17:9
17 Marejeleo ya Msalaba  

lakini nimekuombea wewe ili imani yako isipungue; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako.


Yesu akasema, Baba, uwasamehe, kwa kuwa hawajui watendalo. Wakagawa mavazi yake, wakipiga kura.


Wachungaji walipoona lililotokea walikimbia, wakaieneza habari mjini na mashambani.


Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele;


kama vile ulivyompa mamlaka juu ya watu wote, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele.


Wala si hao tu ninaowaombea; lakini na wale watakaoniamini kwa sababu ya neno lao.


Jina lako nimewadhihirishia watu wale ulionipa katika ulimwengu; walikuwa wako, ukanipa mimi, na neno lako wamelishika.


Wote anipao Baba watakuja kwangu; wala yeyote ajaye kwangu sitamtupa nje kamwe.


Na mapenzi yake aliyenituma ni haya, ya kwamba katika wote alionipa nisimpoteze hata mmoja, bali nimfufue siku ya mwisho.


Naye, kwa sababu hii, anaweza kuwaokoa kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye; maana yu hai sikuzote ili awaombee.


Kwa sababu Kristo hakuingia katika patakatifu palipofanyika kwa mikono, ndio mfano wa patakatifu halisi; bali aliingia mbinguni hasa, aonekane sasa usoni pa Mungu kwa ajili yetu;


Tunajua ya kuwa sisi tu wa Mungu; na dunia yote pia hukaa katika yule mwovu.


Lile joka kuu likatupwa, yule nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika wake wakatupwa pamoja naye.


Na watu wote wakaao juu ya nchi watamsujudu, kila ambaye jina lake halikuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-kondoo, aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi ya dunia.


Na iwapo mtu yeyote hakuonekana ameandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika lile ziwa la moto.