Yohana 17:20 - Swahili Revised Union Version20 Wala si hao tu ninaowaombea; lakini na wale watakaoniamini kwa sababu ya neno lao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 “Siwaombei hao tu, bali nawaombea pia wote watakaoamini kutokana na ujumbe wao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 “Siwaombei hao tu, bali nawaombea pia wote watakaoamini kutokana na ujumbe wao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 “Siwaombei hao tu, bali nawaombea pia wote watakaoamini kutokana na ujumbe wao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 “Siwaombei hawa peke yao, bali nawaombea na wale wote watakaoniamini kupitia neno lao, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 “Siwaombei hawa peke yao, bali nawaombea na wale wote watakaoniamini kupitia neno lao Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Wala si hao tu ninaowaombea; lakini na wale watakaoniamini kwa sababu ya neno lao. Tazama sura |