Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 8:34 - Swahili Revised Union Version

34 Wachungaji walipoona lililotokea walikimbia, wakaieneza habari mjini na mashambani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Wale wachungaji walipoona yote yaliyotokea walikimbia, wakaenda kuwapa watu habari mjini na mashambani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Wale wachungaji walipoona yote yaliyotokea walikimbia, wakaenda kuwapa watu habari mjini na mashambani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Wale wachungaji walipoona yote yaliyotokea walikimbia, wakaenda kuwapa watu habari mjini na mashambani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Wale watu waliokuwa wakichunga lile kundi la nguruwe walipoona yaliyotukia, wakakimbia, wakaeneza habari hizi mjini na mashambani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Wale watu waliokuwa wakichunga lile kundi la nguruwe walipoona yaliyotukia, wakakimbia, wakaeneza habari hizi mjini na mashambani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 Wachungaji walipoona lililotokea walikimbia, wakaieneza habari mjini na mashambani.

Tazama sura Nakili




Luka 8:34
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nao wale walipokuwa wakienda, tazama, baadhi ya walinzi waliingia mjini, wakawaambia wakuu wa makuhani juu ya mambo yote yaliyotendeka.


Lakini wachungaji walikimbia, wakaenda zao mjini, wakazieneza habari zote na habari za wale wenye pepo pia.


Wachungaji wao wakakimbia, wakaieneza habari mjini na mashambani. Watu wakatoka walione lililotokea.


Pepo wakamtoka mtu yule wakawaingia nguruwe, nalo kundi liliteremka gengeni kwa kasi, wakaingia ziwani, wakafa maji.


Watu wakatoka kwenda kuliona lililotokea, wakamwendea Yesu, wakamwona mtu yule aliyetokwa na pepo ameketi miguuni pa Yesu, amevaa nguo, ana akili zake; wakaogopa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo