Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 14:18 - Swahili Revised Union Version

Sitawaacha ninyi yatima; naja kwenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Sitawaacha nyinyi yatima; nitakuja tena kwenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Sitawaacha nyinyi yatima; nitakuja tena kwenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Sitawaacha nyinyi yatima; nitakuja tena kwenu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sitawaacha ninyi yatima; nitakuja kwenu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sitawaacha ninyi yatima, naja kwenu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sitawaacha ninyi yatima; naja kwenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 14:18
18 Marejeleo ya Msalaba  

Nitakuwa na mwenendo usio na hatia; Utakuja kwangu lini? Nitakwenda kwa unyofu wa moyo Ndani ya nyumba yangu.


Naam, nijapopita kati ya bonde la kivuli cha mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.


Lakini sasa, BWANA aliyekuhuluku, Ee Yakobo, yeye aliyekuumba, Ee Israeli, asema hivi, Usiogope, maana nimekukomboa; nimekuita kwa jina lako, wewe u wangu.


Mimi, naam, mimi, ndimi niwafarijiye; wewe u nani hata ukamwogopa mtu atakayekufa, na mwanadamu atakayefanywa kuwa kama majani?


Tumekuwa yatima waliofiwa na baba; Mama zetu wamekuwa kama wajane.


Ashuru hatatuokoa; hatutapanda farasi; wala hatutaiambia tena kazi ya mikono yetu, Ninyi ndinyi miungu yetu; maana kwako wewe wasio na baba hupata rehema.


Nasi na tujue, naam, tukaendelee kumjua BWANA; kutokea kwake ni yakini kama asubuhi; naye atatujia kama mvua, kama mvua ya vuli iinyweshayo nchi.


Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao.


na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.


Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele;


Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi muwepo.


Bado kitambo kidogo nanyi hamnioni; na tena bado kitambo kidogo nanyi mtaniona.


Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.


Na Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe, na Mungu Baba yetu, aliyetupenda akatupa faraja ya milele na tumaini jema, katika neema,


Na kwa kuwa mwenyewe aliteswa alipojaribiwa, aweza kuwasaidia wao wanaojaribiwa.