Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Maombolezo 5:3 - Swahili Revised Union Version

3 Tumekuwa yatima waliofiwa na baba; Mama zetu wamekuwa kama wajane.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Tumekuwa yatima, bila baba, mama zetu wameachwa kama wajane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Tumekuwa yatima, bila baba, mama zetu wameachwa kama wajane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Tumekuwa yatima, bila baba, mama zetu wameachwa kama wajane.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Tumekuwa yatima wasio na baba, mama zetu wamekuwa kama wajane.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Tumekuwa yatima wasio na baba, mama zetu wamekuwa kama wajane.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Tumekuwa yatima waliofiwa na baba; Mama zetu wamekuwa kama wajane.

Tazama sura Nakili




Maombolezo 5:3
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ukiwatesa watu hao katika neno lolote, nao wakanililia mimi, hakika yangu nitasikia kilio chao,


na hasira yangu itawaka moto, nami nitawaua ninyi kwa upanga; na wake wenu watakuwa wajane, na watoto wenu mayatima.


Wajane wao wameongezeka kwangu kuliko mchanga wa bahari; nimeleta mwenye kuteka wakati wa adhuhuri juu ya mama wa vijana; nimeleta uchungu na hofu kuu impate ghafla.


Kwa sababu hiyo, uwatoe watoto wao waone njaa, uwatoe nguvu za upanga ziwapate; wake zao wafiwe na watoto wao, na kufiwa na waume zao; wanaume wao wauawe, na vijana wao wapigwe kwa upanga vitani.


Ashuru hatatuokoa; hatutapanda farasi; wala hatutaiambia tena kazi ya mikono yetu, Ninyi ndinyi miungu yetu; maana kwako wewe wasio na baba hupata rehema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo